Klabu kongwe ya Libya, Al-Ittihad Club, imekamilisha rasmi malipo ya ada za uhamisho kwa mabingwa wa Morocco, Wydad Athletic Club, kwa ajili ya kuwasajili nyota wawili waliokuwa wakikitumikia kikosi hicho.
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa, jumla ya dola za Marekani milioni 1.4 (takribani Sh3.9 bilioni) zimelipwa kukamilisha dili hilo. Kati ya fedha hizo, dola 800,000 (Sh2.04 bilioni)..... download Xtra 90 App



