Local,Normal News,Yanga, Singida

Yanga yakabiliwa na mtihani mwingine Singida

Joel JJ By Joel JJ
β€’
3 Mar 2026
Yanga yakabiliwa na mtihani mwingine Singida

Baada ya mchezo dhidi ya Simba uliopigwa visiwani Zanzibar na kumalizika kwa matokeo ya suluhu ya bila kufungana, mabingwa watetezi wa ligi kuu ya NBC Yanga wanaeleka mkoani Singida ambako wanakabiliwa na mechi nyingine ngumu.

March 05 Yanga itakuwa dimba la Airtel huko Singida kuikabili Singida Black Stars katika mchezo mwingine unaotarajiwa kuwa na upinzani mkali.

Katika mchezo uliopita dhidi ya Simba, wengi wanaamini Yanga haikuonyesha ubora wake pengine watahitaji kuzinduka huko Singida kuepuka kipigo kutoka kwa walima alizeti ho.

Mwezi huu Yanga, Simba, Azam Fc na Singida BS zitakuwa na mfululizo wa mechi za viporo zikiwa nyuma kutokana na ushiriki wao wa mashindano ya CAF.

Baada ya mchezo huo Wananchi watarejea Dar es salaam kuikabili Polisi Tanzania kwenye mchezo wa kombe la CRDB hatua ya 32 bora unaotarajiwa kupigwa uwanja wa KMC Complex March 08.

March 12 Yanga itakuwa Mbeya kumenyana na Tanzania Prisons kisha kurejea jijini Dar es salaam kumenyana na Azam Fc March 15.

March 18 huenda ikasafiri mkoani Arusha kuikabili TRA United ambayo imetangaza rasmi kuhamia mkoani humo. Baada ya mchezo huo Yanga itaelekea mkoani Dodoma kuikabili Mtibwa Sugar March 21.

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’