Usiku wa leo macho ya wapenda soka yanaelekezwa katika dimba la Spotify Camp Nou ambako FC Barcelona wanawakaribisha Atlético Madrid katika mchezo wa marudiano wa nusu fainali ya Copa del Rey.
Barcelona wanakabiliwa na mtihani mgumu kufuatia kipigo cha mabao 4-0 walichopata katika mchezo wa kwanza uliochezwa jijini Madrid. Matokeo hayo yanaifanya timu hiyo ya Catalonia kuhitaji ushindi..... download Xtra 90 App



