Singida BS yamsamehe Aucho, arejeshwa kikosini

Joel JJ By Joel JJ β€’ 5th March 2026


Singida BS yamsamehe Aucho, arejeshwa kikosini

Klabu ya Singida BS imetangaza kumsamehe kiungo wake Mganda Khalid Aucho baada ya mchezaji huyo kuomba radhi.

Aucho alikuwa akitumikia adhabu ya kusimamishwa kwa miezi mitatu kutokana na makosa ya utovu wa nidhamu.

Taarifa iliyotolewa na Singida BS mapema leo imebainisha kuwa Kamati ya nidhamu imemsamehe Aucho baada ya kukiri na kuomba radhi.


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.