Kiungo mshambuliaji wa Simba Sports Club, Inno Jospin Loemba, ameanza kujijengea jina kwa kasi ndani ya kikosi hicho baada ya kuonyesha kiwango cha kuvutia tangu aliposajiliwa katika dirisha dogo la usajili la msimu wa 2025/2026.
Nyota huyo raia wa Republic of the Congo alionekana kungβara zaidi katika mchezo wa dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga



