Klabu ya Simba SC imempa mshambuliaji wake raia wa Ghana, Jonathan Sowah, muda wa siku tatu kujibu tuhuma kadhaa za kinidhamu ambazo zimeibua mjadala mkubwa miongoni mwa mashabiki na wadau wa soka nchini.
Hatua hiyo imekuja wakati ambapo Sowah anaendelea kuwa nje ya kikosi kutokana na kusimamishwa na uongozi wa klabu, hali inayozua maswali kuhusu mustakabali wake ndani ya..... download Xtra 90 App



