Shirikisho la Soka la Zambia (Football Association of Zambia β FAZ) limemteua kocha mkongwe George Lwandamina kuwa Kocha Mkuu wa muda wa timu ya taifa ya Zambia, Zambia national football team maarufu kama Chipolopolo.
Kwa mujibu wa taarifa ya FAZ, Lwandamina atashika wadhifa huo kwa muda ili kuiongoza Zambia katika michuano ya kirafiki ya Four-Nation Tournament Botswanaitakayofanyika..... download Xtra 90 App



