Klabu ya Yanga imewaandikia barua kw Bodi ya Ligi, ikihitji ufafanuzi wa kina juu ya adhabu iliyotolewa na Kamati ya saa 72 kwa mchezaji wa Simba Selemani Mwalimu.
Akizungumza ktika mkutano na wanahabari mapema leo Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe alisema kuwa klabu hiyo imewasilisha barua rasmi baada ya kubaini kile walichokiita kuwa ni utofauti wa kikanuni katika..... download Xtra 90 App



