Mzabuni wa jezi za klabu ya Simba, kampuni ya JayRutty leo imekabidhi magari matano mapya kwa wachezaji watano kama utekelezaji wa ahadi iliyotolewa na Mkurugenzi wake, CPA Joseph Rwegasira.
Wachezaji waliokabidhiwa magari ni Djibril Kassali, Inno Loemba, Annicet Oura, Libasse Guaye na Ismail Toure





