Local,Transfer News,Simba

Kagoma aongeza mkataba Simba

Joel JJ By Joel JJ
β€’
8 Mar 2026
Kagoma aongeza mkataba Simba

Klabu ya Simba imethibitisha kumuongezea mkataba kiungo wa kati Yusuph Kagoma.

Kagoma ameongeza mkataba wa miaka miwili kuwatumikia Wekundu hao wa Msimbazi. Mkataba wake awali ulikuwa unamalizika mwishoni mwa msimu.

Ni hatua ya nzuri kwa uongozi wa Simba kumuongezea mkataba mapema kiungo huyo mkabaji ambaye kwa sasa ni moja ya nguzo ya Simba katika eneo la kiungo.

Simba pia imemuongea mkataba beki raia wa Afrika Kusini, Rushine de Reuck.

Rushine ameongeza mkataba wa mwaka mmoja Simba ikitumia kipengele kilichowekwa kwenye mkataba wake wa awali.

Beki huyo ambaye ni mmoja wa manahodha wa Simba alitua Msimbazi kwa mkopo wa mwaka mmoja kutoka klabu ya Mamelodi Sundowns mkataba wake ukiwa na kipengele cha kuongeza mwaka mwingine kama Simba itaridhishwa na uwezo wake.

Uongozi wa Simba umeweka mkakati wa kuhakikisha nyota wote muhimu kwenye kikosi cha kwanza wanakuwa na mikataba ya muda mrefu.

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
2h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
2h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
3h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
4h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
4h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
5h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
20h ago
READ MORE β†’