Yanga imetinga hatua ya 16 bora ya kombe la CRDB kibabe wakiibuka na ushindi wa mabao 7-1 dhidi ya Polisi Tanzania katika mchezo uliopigwa uwanja wa KMC Complex.
Zilikuwa dakika 90 ngumu kwa Polisi Tanzania mbele ya Wananchi waliokuwa na uchu wa kutinga hatua inayofuata ya michuano hiyo.
Mapema tu dakika ya kwanza Mudathir Yahya akaitanguliza kwa bao la shuti la chini chini kutoka..... download Xtra 90 App



