Local,Normal News,Simba, SIngida

Simba yaifuata Singida Black Stars

Joel JJ By Joel JJ
β€’
9 Mar 2026
Simba yaifuata Singida Black Stars

Kikosi cha Simba kimeondoka jijini Dar es salaam leo Jumatatu, March 09 kuelekea Singida tayari kwa mchezo wa ligi kuu dhidi ya Singida Black Stars.

Mchezo huo wa kwanza kuzikutanisha timu hizo msimu huu, utapiigwa Jumatano, March 11 katika uwanja wa Airtel, Mtipa.

Simba inatarajiwa kuweka kambi ya siku moja mkoani Dodoma kabla ya kuelekea Singida mapema Jumanne.

Mtanange huo unasubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka nchini kwani mechi baina ya timu hizo hazijawahi kuwa nyepesi.

Singida BS watakuwa na shauku ya kujisahihisha baada ya kupoteza mchezo uliopita kwa kufungwa mabao 3-0 na Yanga wakati Simba imetoka sare mbili mfululizo mechi za ligi dhidi ya Dodoma Jiji na Yanga.

Singida BS imetangaza viingilio vya mchezo huo

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’