Callum Wilson akubali kusalia West Ham, Ibrahim Sangare aongezwa kwenye orodha ya wanaowindwa na Manchester United na Manchester City yakaribia kumsajili Tino Livramento. Mshambuliaji wa Uingereza Callum Wilson, 34, amekubali mkataba mpya wa mwaka mmoja na West Ham wiki chache tu baada ya kuonekana kuwa mwenye kuondoka hivi karibu. (Telegraph - subscription required)





