Local,Normal News,Yanga, Simba, Azam, Singida, TRA, Namungo, Coastal Union

Hizi hapa mechi za 16 bora kombe la CRDB

Joel JJ By Joel JJ
β€’
9 Mar 2026
Hizi hapa mechi za 16 bora kombe la CRDB

Mechi za hatua ya 32 bora kombe la CRDB lilikamilika jana kwa Azam Fc kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbeya Kwanza na hivyo kukamilisha idadi ya timu 16 zilizofuzu hatua inayofuata.

Ratiba ya mechi za hatua ya 16 bora;

  • Yanga vs TMA Stars
  • Simba vs Dodoma Jiji
  • Singida BS vs Mbeya City
  • Azam Fc vs Fountain Gate
  • Namungo Fc vs TRA United
  • Coastal Union vs Pamba Jiji
  • JKT Tanzania vs Mbuni Fc
  • Geita Gold vs Mashujaa Fc

Klabu za TMA Stars, Mbuni Fc na Geita Gold Fc ndio timu pekee kutoka ligi ya Championship ambazo zimeweza kupenya hatua ya 16 bora.


>>> XTRA 90 MEDIA imetangaza nafasi za kazi. BONYEZA HAPA

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
2h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
2h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
3h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
4h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
4h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
5h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
20h ago
READ MORE β†’