Beki wa Simba Rushine de Reuck amesema mapokezi mazuri na sapoti anayopata kutoka kwa Wanasimba ni moja ya sababu iliyopelekea akubali kuendelea kuitumikia Simba kwa muda mrefu zaidi.
Rushine jana alisaini mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kuitumikia Simba ambao utamfanya asalie Msimbazi hadi mwishoni mwa msimu wa 2027.
"Nimefurahi sana kuongeza mkataba kuendelea kusalia hapa...... download Xtra 90 App



