Mashabiki wa soka nchini Tanzania wanatarajia kushuhudia pambano kali la Ligi Kuu ya NBC kati ya Azam FC na Young Africans litakalochezwa tarehe 15 Machi 2026 katika dimba laBenjamin Mkapa Stadium.
Mchezo huu ni miongoni mwa mechi zinazotarajiwa kuvuta hisia kubwa kutokana na ushindani uliopo kati ya timu hizi mbili zenye historia ya kutoa burudani kubwa kwa mashabiki wa soka..... download Xtra 90 App



