Inaelezwa mabosi wa Simba wameanza mapema mchakato wa kumsajili mshambuliaji wa Asec Mimosas, Souleymane Fofana, imefahamika.
Fofana amekuwa na kiwango bora msimu huu akiifungia Asec jumla ya mabao 11 na asisti 5 katika mechi 17 tu.
Simba inamtaka mshambuliaji huyo ambaye pia anaweza kutumika kama namba 10 achukue nafasi ya Jonathan Sowah ambaye uwezekano wa kuendelea kusalia..... download Xtra 90 App



