Kocha Mkuu wa Simba Steve Barker amesema kikosi chake kimejiandaa kushinda mchezo wa ligi kuu dhidi ya Singida Black Stars ambao utapigwa kesho Jumatano katika uwanja wa Airtel huko Singida.
Akizungumza katika mkutano na wanahabari mapema leo kuelekea mchezo huo, Barker alisema hawakushinda mechi mbili zilizopita kwenye ligi hiyo mchezo huo una umuhimu wa kipekee kwao..... download Xtra 90 App



