Mikiki mikiki ya ligi kuuya NBC inaendelea leo kwa mechi za viporo kupigwa katika viwanja mbalimbali.
Timu ya TRA United itakuwa mwenyeji wa Namungo Fc katika mchezo wa mapema utakaopigwa saa nane mchana katika uwanja wa Black Rhino Arusha.
Majira ya saa 10:15 jioni mchezo unaosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka nchini kati Singida BS dhidi ya Simba utapigwa uwanja wa Airtel..... download Xtra 90 App



