Dodoma Jiji 'wametepeta' uwanja wa nyumbani, Jamhuri mkoani Dodoma wakikubali kipigo cha mabaoo 3-0 kutoka kwa Azam FC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC.
Zidane Seleli alikuwa shujaa wa Azam Fc katika mchezo huo akifunga mabao mawili dhidi ya waajiri wake wa zamani huku Feisal Salum 'Fei Toto' akirejea na bao na asisti baada ya kumaliza adhabu ya kukosa mechi mbili kufuatia kadi nyekundu..... download Xtra 90 App



