Mashindano ya CAF Champions League 2025/26 yanaingia hatua ya kusisimua zaidi baada ya kumalizika kwa hatua ya makundi. Kuanzia Ijumaa, Machi 13, 2026, timu nane bora barani Afrika zinaanza kupambana katika mechi za robo fainali (first leg), hatua itakayoamua nani ataendelea na safari ya kutwaa taji kubwa zaidi la vilabu barani Afrika.
Hatua hii inawakutanisha baadhi ya vilabu vikubwa na..... download Xtra 90 App



