TRA United vs Simba, mvua yakwamisha mchezo

Joel JJ By Joel JJ β€’ 14th March 2026


TRA United vs Simba, mvua yakwamisha mchezo

Mchezo wa ligi kuu ya NBC kati ya TRA United dhidi ya Simba uliokuwa upigwe leo Jumamosi March 14 saa 10 jioni katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid mkoani Arusha, haujafanyika kutokana na mvua kubwa iliyonyesha na kupelekea uwanja kujaa maji.

Kamishna wa mchezo huo, Mussa Nyamandege ameuahirisha kwa kuzingatia matakwa ya kikanuni.

Taarifa zaidi kuhusu hatma ya mchezo inatarajiwa kutolewa na badae na Bodi ya ligi


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.