Klabu ya RS Berkane ya Morocco imelazimishwa sare ya 1β1 na Al Hilal Omdurman ya Sudan katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa robo fainali ya mashindano ya CAF Champions League uliochezwa Jumamosi, Machi 14, 2026 kwenye Uwanja wa Municipal mjini Berkane.
Mchezo huo ulikuwa wa ushindani mkubwa huku kila timu ikijaribu kupata faida kabla ya mchezo wa marudiano utakaopigwa..... download Xtra 90 App



