Mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England zimechukua sura mpya baada ya matokeo ya michezo iliyochezwa Jumamosi, Machi 14, 2026, ambapo vinara Arsenal walipata ushindi muhimu huku wapinzani wao wakubwa Manchester City wakiteleza na kupoteza pointi muhimu.
Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Emirates, Arsenal waliifunga Everton mabao 2β0 na kuimarisha uongozi wao kileleni mwa msimamo wa ligi...... download Xtra 90 App



