Mchezo wa ligi kuu ya NBC kati ya Azam Fc dhidi ya Yanga uliopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa, umemalizika kwa matokeo ya suluhu ya bila kufungana.
Ni mchezo uliotawaliwa na ufundi mwingi lakini nafasi chache zikitengenezwa na kila upande pengine kutokana umakini uliokuwa eneo la ulinzi kwa timu zote.
Azam Fc ilianza mchezo huo kwa kasi na mapema tu walimpa kazi mlinda lango wa Yanga..... download Xtra 90 App



