Mshambuliaji wa Simba, Jonathan Sowah, amejitetea rasmi mbele ya kamati ya nidhamu ya klabu kufuatia kusimamishwa kwake kutokana na tuhuma mbalimbali za utovu wa nidhamu. Uongozi wa Simba ulimpa nafasi ya kusikilizwa ili kutoa maelezo yake kabla ya maamuzi ya mwisho kuhusu hatma yake ndani ya klabu hiyo.
Katika utetezi wake, Sowah amekanusha baadhi ya tuhuma zilizotolewa dhidi yake huku..... download Xtra 90 App



