Katika uchaguzi wa uongozi wa klabu ya FC Barcelona uliofanyika Jumapili, Machi 15, 2026, Joan Laporta ameshinda tena nafasi ya urais wa klabu hiyo kwa kishindo na kupewa dhamana ya kuiongoza Barcelona kwa muda wa miaka mitano ijayo.
Matokeo rasmi ya uchaguzi yameonyesha kuwa Laporta alipata zaidi ya 68% ya kura, akishinda dhidi ya mpinzani wake mkuu VΓctor Font ambaye alipata karibu 30%..... download Xtra 90 App



