Mshambuliaji wa Yanga Laurindo Dilson 'Depu' amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa ligi kuu ya NBC kwa mwezi February 2026.
Depu ametwaa tuzo hiyo akiwashinda Idd Suleiman 'Nado' wa Azam Fc na Rushine de Reuck wa Simba.
Mwezi February Depu aliifungia Yanga mabao mawili na kuwasaidia mabingwa hao watetezi ligi kuu ya NBC kushinda mechi mbili.





