Chelsea Yaanzisha Uchunguzi wa Ndani Kufuatia Uvujaji wa Kikosi Kabla ya Mechi na PSG.

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media β€’ 17th March 2026


Chelsea Yaanzisha Uchunguzi wa Ndani Kufuatia Uvujaji wa Kikosi Kabla ya Mechi na PSG.

TAARIFA MPYA: Klabu ya Chelsea imeanzisha uchunguzi wa ndani kuhusu mshukiwa wa kuvujisha taarifa kutoka chumba cha wachezaji baada ya taarifa za kikosi kuvuja mara mbili ndani ya wiki moja kabla ya mechi kubwa dhidi ya Paris Saint-Germain (PSG), ikiwa ni muda mfupi kabla ya mchezo wao wa pili.

Kwa sasa, CFC wako kwenye tahadhari kubwa wakitafuta chanzo cha uvujishaji huo wa mara kwa mara wa kikosi (Mailsport).

Chelsea itacheza mechi yake ya mkondo wa pili dhidi ya PSG usiku wa leo huku ikiwakosa wachezaji muhimu kama nahodha wao Reece james, Malo gusto, na wengineo.


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.