Shirikisho la Soka Barani Afrika, CAF, limetangaza rasmi kuwa Morocco ndiyo mabingwa wa AFCON 2025 kufuatia uamuzi wa rufaa uliobadilisha matokeo ya fainali iliyochezwa mapema mwaka 2026.
Uamuzi Uliozua Mjadala Mkubwa
Katika hatua iliyotikisa ulimwengu wa soka Afrika, kamati ya rufaa ya CAF ilibatilisha ushindi wa Senegal na badala yake kuitangaza Morocco mshindi kwa mabao 3-0 kwa..... download Xtra 90 App



