Local,Normal News,

Ligi Kuu Bara : TRA United, Yanga, Prisons na Singida BS viwanjani

Joel JJ By Joel JJ
β€’
18 Mar 2026
Ligi Kuu Bara : TRA United, Yanga, Prisons na Singida BS viwanjani

Mikiki mikiki ya ligi kuu ya NBC inaendelea leo kwa mechi za viporo ambapo mabingwa watetezi Yanga wako ugenini mkoani Arusha kuwakabili TRA United katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Sheikh Amri Abeid.

Ni katika mchezo unaosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka mkoani Arusha, hasa baada ya kutofanyika kwa mchezo kati ya TRA United dhidi ya Simba ambao ulipaswa kupigwa March 14 lakini mvua ikapelekea mchezo huo kuahirishwa.

Wenyeji TRA United watakuwa wakisaka alama tatu ili kuendelea kujiweka katika nafasi nzuri kwenye msimamo wakati Yanga inasaka ushindi ili kuzidi kujiimarisha kileleni mwa msimamo wa ligi.

Mchezo mwingine utakaopigwa leo ni kati ya Tanzania Prisons dhidi ya Singida BS utakaopigwa saa 2 usiku katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
2h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
2h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
3h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
4h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
4h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
5h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
19h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
20h ago
READ MORE β†’