Mikiki mikiki ya ligi kuu ya NBC inaendelea leo kwa mechi za viporo ambapo mabingwa watetezi Yanga wako ugenini mkoani Arusha kuwakabili TRA United katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Sheikh Amri Abeid.
Ni katika mchezo unaosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka mkoani Arusha, hasa baada ya kutofanyika kwa mchezo kati ya TRA United dhidi ya Simba ambao ulipaswa kupigwa March 14 lakini..... download Xtra 90 App



