Wekundu wa Msimbazi, Simba Sc wameshindwa kunufaika na matokeo ya watani zao Yanga baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Pamba Jiji katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa uwanja wa CCM Kirumba.
Jana Yanga ililazimishwa suluhu ya bila kufungana dhidi ya TRA United na kuibua shangwe kwa mashabiki wa Simba wakiamini wana nafasi ya kupunguza gap la pointi dhidi ya watani zao hao kwenye..... download Xtra 90 App



