Local,Normal News,Yanga, Azam, Simba, Singida

Kamati ya saa 72 yafungia waamuzi walioshindwa kutafsiri sheria za soka

Joel JJ By Joel JJ
β€’
19 Mar 2026
Kamati ya saa 72 yafungia waamuzi walioshindwa kutafsiri sheria za soka

Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB), katika kikao chake cha March 17, 2026 ilipitia mwenendo na matukio mbalimbali ya ligi na kufany maamuzi kama ifuatavy;

1. Singida BS FC 0-3 Young Africans SC (Mechi Na. 72)

  • Carlos Leonard Mayangura (Shabiki wa Yanga): Amefungiwa miezi 12 kwa kosa la kuongoza mashabiki kuvunja madirisha ya chumba cha kuvalia na kusababisha uharibifu.

  • Klabu ya Young Africans: Imetozwa faini ya Sh. 5,000,000 na kutakiwa kulipa gharama za matengenezo ya madirisha na maeneo yaliyoharibiwa na mashabiki wao.

2. Singida BS FC 1-2 Simba SC (Mechi Na. 111)

  • Katanga Hussein (Mwamuzi): Amefungiwa mizunguko mitatu (3) kwa kushindwa kutafsiri sheria baada ya golikipa wa Simba, Djibrilla Kassali, kucheza rafu dhidi ya Joseph Guede (Singida BS) ndani ya eneo la penati.

  • Klabu ya Singida BS: Imetozwa faini ya Sh. 5,000,000 kwa kosa la meneja wake, Othmen Najjar, kutovaa sare za timu kama maofisa wengine.

3. Azam FC 0-0 Young Africans SC (Mechi Na. 104)

  • Ally Mnyupe (Mwamuzi): Amefungiwa mizunguko mitatu (3) kwa kushindwa kutoa penati baada ya mchezaji wa Azam, Fuentes Mendoza, kucheza rafu dhidi ya Prince Dube (Yanga) ndani ya eneo la penati.

  • Klabu ya Azam FC: Imetozwa faini ya Sh. 5,000,000 kwa kukataa kutumia chumba rasmi cha kuvalia na badala yake kutumia njia ya kuingilia vyumbani (corridor).

  • Klabu ya Young Africans: Imetozwa faini ya Sh. 5,000,000 kwa kosa la mashabiki wao kuwarushia chupa za maji waamuzi wakati wakitoka uwanjani baada ya mechi.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
4h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
8h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
9h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
11h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
14h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
14h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
14h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
16h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
20h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’