Klabu ya Simba SC imeonyesha dhamira ya kuimarisha kikosi kwa ajili ya ushindani wa ndani na kimataifa msimu ujao baada ya kukamilisha usajili wa kiungo mahiri Kelvin Nashon kutoka Pamba Jiji FC.
Taarifa zilizoanza kusambaa kuanzia Machi 19, 2026 zinaeleza kuwa Nashon (25) tayari amesaini mkataba wa muda mrefu wa kuitumikia Simba, huku akitarajiwa kujiunga rasmi na kikosi hicho mwishoni..... download Xtra 90 App



