Kocha Mkuu wa Yanga Pedro Goncalves amesisitiza kuwa kikosi chake hakipati muda wa kutosha wa maandalizi ya mechi kutokana na ratiba ngumu inayaowakabili.
Yanga iko mkoani Dodoma ambapo kesho Jumamosi, watashuka uwanja wa Jamhuri kuikabili Mtibwa Sugar katika mchezo wa mzunguuko wa 16 ambao ni wa kwanza duru ya pili.
Akizungumza na wanahabari mapema leo kuelekea mchezo huo,..... download Xtra 90 App



