International,Transfer News,International,Transfer News,Atletico madrid,Orlando city,

Orlando city wafikia makubaliano kumsajili mshambuliaji Antonie Griezmann.

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media
23 Mar 2026
Orlando city wafikia makubaliano kumsajili mshambuliaji Antonie Griezmann.

Orlando City wamefikia makubaliano ya kumsajili Antoine Griezmann bila ada ya uhamisho kuanzia Julai 2026.

Timu hiyo ya MLS awali ilisisitiza kumsajili mwezi Machi, lakini Atlético Madrid walikataa ofa hiyo. Orlando waliendelea kuwa na dhamira, na sasa wamefanikiwa kufanikisha dili hilo, kila kitu kikiwa kimekubaliwa.

MARCA imeripoti, Griezmann anatarajiwa kusafiri kwenda Orlando wiki hii kukamilisha taratibu na kusaini mkataba wake. Nyota huyo wa Ufaransa atavaa jezi namba 7 na anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka miwili na Orlando City.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE →
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
5h ago
READ MORE →
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE →
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE →
Rasmi: João Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: João Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
11h ago
READ MORE →
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE →
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE →
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE →
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
17h ago
READ MORE →
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE →