Mo ambakisha Mpanzu Simba

Joel JJ By Joel JJ β€’ 23rd March 2026


Mo ambakisha Mpanzu Simba

Rais wa Heshima wa klabu ya Simba Bilionea Mohamed Dewji 'Mo' amefanikisha mpango wa Wekundu hao wa Msimbazi kumuongeza mkataba winga Elie Mpanzu.

Mpanzu amesaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kuwatumikia wababe hao kutoka mitaa ya Msimbazi jijini Dar es salaam.

Kulikuwa na sintofahamu juu ya hatma ya Mcongomani huyo ndani ya Simba mengi yakizungumzwa wakati wa usajili wa dirisha dogo.

Hatimaye sasa ni rasmi, Mpanzu bado ni mali ya Simba kwa misimu mingine miwili.


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.