International,Normal News,Liverpool

Alexander Isak arejea mazoezini, tayari kuwavaa PSG nusu fainali UEFA

Xtra 90 Media By Xtra 90 Media
β€’
23 Mar 2026
Alexander Isak arejea mazoezini, tayari kuwavaa PSG nusu fainali UEFA

Mshambuliaji wa Liverpool, Alexander Isak, anatarajiwa kuwa sehemu ya kikosi kitakachoshiriki michezo ya robo fainali ya UEFA Champions league dhidi ya Paris Saint-Germany (PSG), baada ya kurejea katika hali nzuri ya kimwili.

Taarifa hizo zimethibitishwa na kocha mkuu wa Liverpool, Arne slot, ambaye amesema kuwa nyota huyo tayari amerejea mazoezini kwa kiwango kamili na anaendelea vizuri kuelekea kurejea uwanjani.

Isak alikuwa nje ya uwanja kwa muda kutokana na changamoto ya majeraha, hali iliyozua wasiwasi kwa mashabiki wa Liverpool kuelekea katika hatua muhimu ya michuano hiyo mikubwa barani Ulaya. Hata hivyo, kurejea kwake mazoezini kunatoa matumaini makubwa kwa timu hiyo kabla ya kuvaana na PSG katika hatua hiyo ya mtoano.

Kwa mujibu wa kocha Slot, mshambuliaji huyo anatarajiwa kurejea rasmi kikosini mara baada ya kumalizika kwa mapumziko ya kimataifa, hatua itakayoongeza nguvu katika safu ya ushambuliaji ya Liverpool wanapojiandaa kwa mechi hizo muhimu.

(Source: DaveOCKOP)

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
1h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
2h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
3h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
5h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
18h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
19h ago
READ MORE β†’