Shirikisho la soka la Ulaya, UEFA, limethibitisha kwamba timu itakayomaliza nafasi ya 7 katika ligi ya Premier League msimu huu inaweza kupata nafasi ya kushiriki katika michuano ya UEFA Champions League ya msimu wa 2026-27, iwapo;
Kama Aston Villa watashinda taji la UEFA Europa League na kumaliza katika nafasi ya 5 au 6 kwenye ligi ya Premier League, basi nafasi ya 7 itakuwa na uwezekano..... download Xtra 90 App



