Timu ya Taifa ya Tanzania, 'Taifa Stars', leo Alhamisi Machi 26, 2026 inaanza rasmi kampeni yake katika michuano ya FIFA Series inayofanyika nchini Rwanda, kwa mchezo dhidi ya Liechtenstein.
Mashindano hayo ya FIFA Series ni ya kirafiki yanayoandaliwa na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), yakihusisha timu kutoka mabara tofauti kwa lengo la kuongeza ushindani na uzoefu wa kimataifa. Toleo..... download Xtra 90 App



