Local,Normal News,Yanga, Simba, Azam, Fountain Gate, Singida BS

Stars yajipanga kuikabili Macau FIFA Series Rwanda

Joel JJ By Joel JJ
β€’
27 Mar 2026
Stars yajipanga kuikabili Macau FIFA Series Rwanda

Baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Liechtenstein jana, kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kimerjea mazoezini nchini Rwanda kujiandaa na mchezo wa pili dhidi ya Macau utakaopigwa Jumapili, March 29 dimba la Kigali, Pele huko Rwanda.

Vijana wa kocha Miguel Gamondi wanahitaji kushinda mchezo huo ili kumaliza machungu ya kupoteza mchezo uliopita dhidi ya vibonde Liechtenstein.

Macau walipigwa mabao 4-1 na Aruba katika mchezo wao uliopita. Ni kama mchezo wa kusaka mshindi wa tatu kwani timu zote zilipoteza mechi zao za kwanza huku Aruba na Liechtenstein zikitarajiwa kuchuana kwenye mchezo wa fainali.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
5h ago
READ MORE β†’
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
9h ago
READ MORE β†’
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
11h ago
READ MORE β†’
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
13h ago
READ MORE β†’
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: JoΓ£o Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
15h ago
READ MORE β†’
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
15h ago
READ MORE β†’
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
15h ago
READ MORE β†’
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
17h ago
READ MORE β†’
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
21h ago
READ MORE β†’
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
1d ago
READ MORE β†’