Jumatano April 1 2026 Singida Black Stars wataikaribisha Azam Fc katika mchezo wa ligi kuu ya NBC utakaopigwa uwanja wa Airtel, mkoani Singida.
Baada ya kupoteza mechi mbili kubwa dhidi ya Yanga (3-0) na Simba (2-1) katika uwanja wake wa nyumbani, Singida BS inahitaji kujisahihisha dhidi ya 'mkubwa' mwingine kutoka jijini Dar es salaam.
Ukiacha mechi hizo walizopoteza dhidi ya..... download Xtra 90 App



