Kiungo mkabaji wa timu ya taifa ya Brazil, Casemiro, yuko mbioni kuondoka rasmi klabu ya Manchester United mwishoni mwa msimu wa 2025β26. Uamuzi huu unakuja baada ya uongozi wa klabu kuamua kutohuisha mkataba wake, hivyo kumalizia kipindi chake cha miaka minne Old Trafford.
Casemiro, mwenye umri wa miaka 34, alijiunga na United akitokea Real Madrid mwaka 2022 kwa ada kubwa ya uhamisho...... download Xtra 90 App



