Kikosi cha Stars kinachoanza dhidi ya Macau, FIFA Series

Joel JJ By Joel JJ β€’ 29th March 2026


Kikosi cha Stars kinachoanza dhidi ya Macau, FIFA Series

Muda mchache ujao timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' itakuwa uwanjani pale Kigali, Rwanda dimba la Pele kuhitimisha mechi ya FIFA Series dhidi ya Macau.

Mchezo huo ni wa kusaka mshindi wa tatu ukitarajiwa kupigwa kuanzia saa 10 jioni.

Mkufunzi wa Stars Miguel Gamondi aliweka wazi dhamira yake ya kuhitaji ushindi katika mchezo huo akianza na kikosi hiki hapa chini;


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.