Serikali ya Tanzania imeendelea kuonesha dhamira ya kukuza vipaji vya ndani baada ya kutangaza mpango wa kuanzisha ligi maalum kwa wachezaji wa ndani pekee.
Tangazo hilo limetolewa leo na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, wakati wa ufunguzi wa kikao cha Maofisa Michezo na Utamaduni.
Akizungumza katika kikao hicho, Makonda alieleza kuwa serikali inapanga..... download Xtra 90 App



