International,Normal News,Local, Pamoja, Tanzania, Uganda

Kenya yakamilisha malipo kuandaa Afcon 2027

Joel JJ By Joel JJ
31 Mar 2026
Kenya yakamilisha malipo kuandaa Afcon 2027

Katika hatua kubwa kwa sekta ya michezo Afrika Mashariki, serikali ya Kenya imekamilisha malipo ya ada ya kuandaa Africa Cup of Nations (AFCON) 2027 kwa kuwasilisha kiasi cha KSh 3.9 bilioni (USD 30 milioni) kwa Confederation of African Football (CAF).

Hii inakuja baada ya msukumo mkubwa na hatari ya kupoteza nafasi ya kuwa miongoni mwa wenyeji wa fainali za mashindano y Afcon 2027 kwa ushirikiano wa nchi za Tanzania na Uganda.

Waziri wa Michezo wa Kenya, Salim Mvurya, alithibitisha Jumatano, Machi 31, 2026, kwamba serikali imekamilisha malipo hayo kabla ya muda wa mwisho tarehe 30 Machi, akisema hatua hiyo inaonyesha dhamira ya nchi kuhakikisha kuwa AFCON 2027 inafanyika kwa mafanikio ndani ya mipaka ya Kenya.

“Kwa kutimiza wajibu wetu, Serikali ya Kenya imewasilisha ada ya kuandaa AFCON kwa CAF, tukithibitisha uaminifu wetu, uwezo na dhamira thabiti ya kutoa mashindano ya hadhi ya juu,” alisema Mvurya katika taarifa yake.

Malipo haya ya ada ni sehemu ya makubaliano ya pamoja ya “Pamoja AFCON 2027”, ambapo Kenya, Uganda na Tanzania wanashirikiana kuandaa mashindano hayo kubwa yanayotazamiwa kufanyika kati ya 19 Juni hadi 18 Julai 2027, hatua ambayo itakuwa ya kihistoria kwa Afrika Mashariki.

More Stories

APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
APR Fc yawaondosha aigles du congo kwenye caf champions league
1h ago
READ MORE →
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
Azam Fc yaomboleza kifo cha mlinda lango U20
4h ago
READ MORE →
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
Hatuna presha kuikabili Yanga - Kocha Gaborone United
6h ago
READ MORE →
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
Manqoba aweka tahadhari mechi dhidi ya Gaborone United
8h ago
READ MORE →
Rasmi: João Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
Rasmi: João Pedro Atwaa Tuzo Ya Mchezaji Bora Wa Mwezi Wa Agosti
10h ago
READ MORE →
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
Simba inalenga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, nusu fainali ni lengo kubwa
11h ago
READ MORE →
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
Libasse awapiga chini Max na Mwajanga, Kwenye tuzo za Mwezi.
11h ago
READ MORE →
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
Fei Toto azipotezea Simba, Yanga
13h ago
READ MORE →
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
Xtra 90 Bets : Utabiri wa mechi 21, Septemba 11 2026
16h ago
READ MORE →
UEFA champions league: matokeo ya usiku
UEFA champions league: matokeo ya usiku
23h ago
READ MORE →