Local,Normal News,Yanga, Simba, Azam, Fountain Gate, Singida BS

Arajiga anaipeperusha vyema bendera ya Tanzania

Joel JJ By Joel JJ
β€’
31 Mar 2026
Arajiga anaipeperusha vyema bendera ya Tanzania

Jana mashabiki wa soka nchini kwa mara nyingine walimshuhudia Ahmed Arajiga, refa wa kimataifa kutoka Tanzania, akipeperusha bendera ya Tanzania kwa ustadi wa hali ya juu, akiongoza mechi ya kuwania mshindi wa tatu wa Kundi A la FIFA Serie kati ya Kenya na Grenada kwenye Uwanja wa Amahoro, Rwanda.

Mechi hiyo ilikuwa tamasha la soka, na Kenya ikionyesha nguvu zao kwa ushindi wa 3-0. Mabao yakifungwa na Austine Odhiambo, Ryan Ogam na Vijay Valcin akijifunga na kuihakikishia Kenya ushindi huo.

Kwa Arajiga, hii ilikuwa ni moja ya mechi muhimu sana baada ya muda mrefu, kwani mara yake ya mwisho uwanjani ilikuwa Januari 29, 2026, kwenye mechi ya Ligi Kuu ya NBC ambapo Simba SC ilishinda 2-0 dhidi ya Mashujaa FC. Lakini ujuzi wake wa kimataifa umezidi kuimarika, akionyesha kwamba Tanzania ina refa wa kiwango cha juu, anayefahamika na wachezaji, timu, na mashabiki.

Arajiga hakucheza peke yake, alisaidiwa na wenzake watanzania Mohamed Mkono na Respicous Dismas, huku Nassir Siyah akihudumu kama refa wa akiba. Ushirikiano huu wa unaonesha jinsi Tanzania inavyoanza kuchomoza kwa kutoa waamuzi ngazi za kimataifa.

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
45m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’