Jana mashabiki wa soka nchini kwa mara nyingine walimshuhudia Ahmed Arajiga, refa wa kimataifa kutoka Tanzania, akipeperusha bendera ya Tanzania kwa ustadi wa hali ya juu, akiongoza mechi ya kuwania mshindi wa tatu wa Kundi A la FIFA Serie kati ya Kenya na Grenada kwenye Uwanja wa Amahoro, Rwanda.
Mechi hiyo ilikuwa tamasha la soka, na Kenya ikionyesha nguvu zao kwa ushindi wa 3-0. Mabao..... download Xtra 90 App



