Mashabiki wa Yanga SC wanapumua kwa faraja baada ya Laurindo Aurelio 'Depu', mshambuliaji hatari kutoka Angola, kuanza mazoezi na kikosi chake.
Hii habari njema kwa Wananchi kwani wanarejesha nguvu zao kuelekea mizunguko ya ligi inayofuata na mapambano ya kutetea ubingwa.
Depu alikuwa nje ya uwanja akiuguza majeraha ya misuli, jambo lililosababisha hofu kidogo miongoni mwa mashabiki..... download Xtra 90 App



