Klabu ya Tottenham Hotspurs imefanikiwa kumshawishi kocha Muitaliano, Roberto De Zerbi, amekubali kujiunga na timu hiyo kwa mkataba wa muda mrefu wa miaka mitano.
De Zerbi ambaye kwa sasa hana timu tangu alipoondoka Marseille mapema mwaka huu, anachukua mikoba ya kuinoa Spurs, klabu inayopitia kipindi kigumu kwenye Ligi Kuu England.
Hatua ya Spurs kumuajiri kocha huyo imekuja..... download Xtra 90 App



